Inawezekana umegundua kuwa watu wengi sana miaka ya leo wanashinda mtandaoni kuliko mtaani, lakini hujui namna ya kuiweka biashara yako hukoo mtandaoni katika namna ambayo itakuwa na faida kwa upande wako.
Au, labda umejaribu kuiweka biashara yako mtandaoni, labdaa … umetengeneza website, umefungua social media accounts unatangaza kupitia zoom, jamii forums na sites zingine zigine za classified ads… lakini bado hamna cha maana, unakuta mda wako unaotumia kuyafanya hayo yoote unaonekana sio sawa kabisa na faida unazozipata kutoka mtandaoni.
Basi mi ntakuambia mambo muhimu sana ambayo inabidi uyafanyie kazi…na haya ni mambo ambayo Mimi mwenyewe napenda kuyafanya nnapotengeza Biashara mpya mtandaoni, najribu ku-share tu kile ambacho kwangu kinafanya kazi. So….
Nnapoongelea website nzuri namaanisha Website yenye viwango bora baadhi ya vitu vya kuzingatia unapotengeneza website yako ni hivi;
5. Anza kufanya Email Marketing kama ulikuwa hufanyi (Fursa!)
6. Penda Kusoma Tabia za Wateja wako wanapokuwa kwenye website yako, ili ujue namna ya kuendana nao.
7. Hakikisha unatumia Picha Zenye Ubora mzuri, itakusaidia sana kunasa macho ya watu, wanapokuwa kwenye website au social media zako.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Kufanya biashara ya samaki aina ya Degere
1. Ufafanuzi Samaki aina ya degere ni sangara ambao wanakuwa na ukubwa ulio pungufu ya sentimeta 48 ambazo ndio ukubwa unaokubalika kisher...
-
Leo nakuletea Jinsi ya kusindika Mtindi, moja ya zao la maziwa. Ikumbukwe kuna baadhi ya watu hudhani Yoghurt ndio mtindi. Mtindi na Yoghurt...
-
1. Ufafanuzi Samaki aina ya degere ni sangara ambao wanakuwa na ukubwa ulio pungufu ya sentimeta 48 ambazo ndio ukubwa unaokubalika kisher...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni